Music Downloads & Lyrics
Mambo vipi mtazamaji wa SDP update?
Karibu tuendelee kuzitazama kwa kina
update mbalimbali zinazoendelea kujiri
ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Hii
leo tunafahamu kwamba CCM wanaendelea na
mkutano wao mkuu wa chama pale Dodoma.
Dodoma leo ni kijani imeitawala kijani.
Moja kati ya picha ambayo nimeona
inasambaa sana mitandaoni ni picha hii
hapa ikimwonyesha Askofu Gwajima. Eh
ukumbuke siku nyuma kadhaa kuelekea
uchaguzi kuelekea kwenye mkutano huu wa
CCM mkutano mkuu wa chama eh alijitokeza
hadharani na kufanya press na kuzungumza
maswala mengi sana ambayo yameibua
maswali mengi na yameibua utata na
baadhi wana CCM wakimtaka eh
wakijitokeza hadharani kumpinga kutokana
na yale ambayo ameyazungumza. Wengine
wakisema ni msaliti, wengine wakisema
hawezi
eh kutaja kutolea mifano kabisa ya
mheshimiwa rais ya mtoto wa mheshimiwa
rais maanake alimtaja Abduli kuhusiana
na maswala ya utekaji na mambo kama
hayo. alitolea kama mfano. Sasa hii
picha eh nimeona watu wanaipost huko na
wanasema na mkutanoni
ameenda. Yaani kwamba licha ya kwamba
amechafua hali ya hewa mitandaoni kwa
siku kadhaa lakini bado ameenda
mkutanoni kwa sababu bado yeye ni
mwanachama wa chama cha mapinduzi CCM.
Nikusomee baadhi ya comments tu za wadau
ambao wanazungumzia yeye kwenda huku.
Huyu hapa
anasema eh CCM sio chama cha mfukoni
kinafanya maamuzi eh kwa kufuata katiba
na sio kukurupuka. Ulitaka wamzuie kisa
nini? Anasema hawa Oktoba watakuwa na
wakati mgumu sana. Anasema mikausho
mikali. Anasema da huyu jamaa mwamba
sana. Anasema mwakilishi wa Kenge Nation
anasema amewanyoosha. Anasema ila
Gwajima anasema kama mbwai na iwe mbwai
tu. mwamba huyu hapa chuma hiki hapa mtu
mbadi anasema kasema hawezi kuendesha
bajaji na boda boda kazoea vitu vizito
anasema hacheki na wowote gwajima mmoja
kati ya wadau wameandika hivyo huyu
mwingine anasema eh panapohitajika
kusema ukweli basi ukweli eh uwepo pia
respect anasema awanyooshe anasema
hakuna kucheka na wowote mbwai iwe
mbwaii anasema kama vipi mnitafute
mnutie wanachama kama sasa kama
mnaweza hatucheki na wowote ngoma nagwa
anasema na hakuna kitu watafanya anasema
gwaji boy kura yangu anayompina gwajima
wapite bila kupingwa hizo ni miongoni tu
mwa comment kutokana na kile ambacho
kinaendelea wasiocomment pia kwa upande
wako tuachie hapa usisahau kusubscribe
kulike
YouTube sdp updates
Huu ni wimbo wa Huyu Hapa Askofu Gajima, ikiwa na maneno kamili ya nyimbo, mp3 download, na video download. Pata muziki wa bure, audio, na lyrics za wimbo huu wa CCM na remix za kisasa.
Discover the full lyrics, free music download, and high-quality audio for Huyu Hapa Askofu Gajima. Download mp3, watch video, and enjoy the latest song from CCM artist. Perfect for karaoke and music lovers worldwide.