Music Downloads & Lyrics
Habari za wakati huu mtazamaji wa SDP
update. Asante sana wewe ambaye
unaendelea kutufuatilia na kama bado
hujasubscribe na kuturn on notification
tafadhali fanya hivyo. Eh nimeona
taarifa mpya ni kutoka kwa jeshi la
polisi kamanda Morilo ambaye amesema
Gwajima akitaka eh akate ufaa eh
nikinukuu kile ambacho
amekisema kamanda wa polisi maalum eh
maalum jijini Dar es Salaam Morilo
Jumanne Morilo anasema sisi jukumu letu
ni kuona kwamba tunatekeleza ile sheria
ya kusimamia kuona kwamba
kilichoelekezwa na ofisi ya msajili basi
kinatekelezeka
na kutekelezwa kwake ni kutoendelea
kufanya zile shughuli zilizokuwa
zikifanyika kanisa la askofu kanisani eh
kwake askofu kama akitaka ziendelee
kufanyika basi afuate utaratibu wa
kisheria ikiwa ni pamoja na kukata rufaa
kwenye mamlaka za kisheria zilizowekwa
lakini kwa sasa tunaelekeza kile ambacho
ni cha sheria cha
mamlaka iliyowasajili
ambayo tayari imesitisha shughuli zao.
Jumanne Murilo kamanda wa polisi kanda
maalum ya Dar es Salaam. Hicho ndicho
ambacho eh kinaendelea na nimeona hiyo
taarifa ambapo alipohojiwa eh Kamanda
Murilo aliweza kuzungumza hivyo kwamba
jukumu la polisi ni kuhakikisha
wanafuata maagizo ya kile
ambacho wameelekezwa kuhusiana na
Gwajima. kama eh anaona hajatendewa haki
basi Morilo anasema akate rufaa eh na si
kuendelea na huduma eh pale katika
kanisa lake la ufunuo ambalo eh kumekuwa
na sinita fahamu nyingi ambazo
zinaendelea tangu taarifa ya kufutwa kwa
kanisa hilo
ilipotajwa sio comment kwa upande wako
tuachie hapo usisahau kusubscribe kulike
kushare pamoja na kuomment na kuendelea
kuwa nasi hapa hapa YouTube kwa update
mbalimbali ambazo zinaendelea kujiri na
kutokea YouTube SDP updates
Kamanda Muliro Amjibu Askofu Gwajima song lyrics, mp3 download, video download, audio, free music, official, remix, new release, popular, top hit.
Hii ni wimbo wa Kamanda Muliro, maneno ya nyimbo, mp3 download, video download, na maelezo ya wimbo huu wa kipekee. Pata lyrics za wimbo, download ya audio na video kwa urahisi, nafurahia muziki wa bure na wa ubora wa juu.